Benvenuti a Njombe – Tanzania

Oggi è arrivato il giorno tanto atteso della fine del nostro corso di Kiswahili, e i notri insegnati si sono detti soddisfatti. Infatti, nonostante il corso ufficiale duri 4 mesi, ci hanno rilasciato l’attestato di frequenza dopo due mesi. Ed ecco che i nostri curriculum si arricchiscono della conoscenza di questa lingua straniera.
Confidiamo nel fatto che la pratica quotidiana ci faccia consolidare le basi che abbiamo messo.
Da adesso in poi, se avete bisogno di qualche piccola traduzione, siamo sul mercato! A meno che il numero di richieste non sia troppo elevato 🙂
Vi allego il discorso fatto in occasione della graduation, e visto che ci siamo impegnati ad ospitare gli amici che abbiamo incontrato, preparatevi ad accoglienti raduni anche in Italia!
Un abbraccio a tutti,
Paolo e Fede

Asante sana!
Ninataka kuanza na “asante sana” kwa sababu, nilipofika hapa, niliweza kusema asante sana tu. Watu wote walikuwa wakizungumza kiswahili vizuri sana na mimi nilisikia maneno mengi, lakini sikuelewa maneno yote. Sasa ninafikiri walimu wazuri wamenifundisha vitu vingi, vingine kuhusu kiswahili, vingine kuhusu utamaduni wa Tanzania na Watanzania. Lugha ni muhimu sana kujua watu na unapoijua lugha, hamna shida. Kama unavyojua, baada ya kumaliza masomo, mimi na Federica tutaenda kufanya kazi Njombe mjini, katika kituo cha watoto yatima. Tulipooana, mwaka uliopita, tuliamua kuenda kufanya kazi kama hiyo, kwa sababu tunapenda sana kucheza pamoja na watoto, na tunataka kuendeleza maisha yao.
Nimefurahi sana kukutana rafiki wengi. Asante sana kwa Amanda na Will kwa sababu Riverside Campside ni mahali pazuri sana, na watu wote wanaweza kuona kwamba wanafanya kazi kwa upendo. Asante sana tena kutufundisha vitu vingi kuhusu utamaduni wa Tanzania, na kufanya kama mama na baba zetu.
Asante sana kwa Godwin, Allois, Godfrey, Faraji na wafanyakasi wote. Riverside CAMPSITE ni sawasawa familia kubwa! Nisingekuja hapa kusoma, nisingekutana na watu wengi, na nisingejifunza vitu vingi pia. Nimefurahi kwa kujua sherika tofauti, kwa sababu kila sherika ina njia ya kufanya kazi. Kwahyio sasa tuna mawazo mengi pia!
Sasa ninataka kusema “KARIBUNI” – karibuni kututembelea Njombe, na kututembelea Italia, tutakaporudi kule!
graduation1.jpg
graduation2.jpg

Comments

2 Responses to “Ormai parliamo kiswahili!?”

  1. Antonella on August 29th, 2008 7:22 pm

    SIETE PROPRIO UNA COPPIA DA 110 E LODE
    Ci avete abituati con le vostre lauree al massimo dei voti, vi auguriamo che gli stessi risultati possiate averli anche con i vari progetti della vostra vita.
    Congratulazioni, Antonella, Francesco e nonna Elsa

  2. Antonella on August 30th, 2008 3:20 pm

    Voglio subito mettervi alla prova.
    Mi è arrivato in regalo dalla Tanzania un bellissimo kanga con la seguente scritta:
    HARUSI IWE YA KHERI MUNGU AZIDISHE BARAKA
    Mi piacerebbe sapere cosa dice questo proverbio.
    Ciao, grazie Antonella

Leave a Reply